Wito wa maombi kwa mara ya tatu 2010 - tarehe ya mwisho ni Agosti 15

Mfuko wa Vyombo vya Habari Tanzania (Tanzania Media Fund – TMF) unawakaribisha waandishi wa habari na taasisi za habari kutuma maombi ya ruzuku.Mwisho wa kutuma maombi kwa ruzuku za mikoani ni tarehe 15/ 08/ 2010.Baada ya tarehe hiyo tutaendelea kupokea maombi ya ruzuku za chap chap na za taasisi tu.
AttachmentSize
FOMU YA MAOMBI - RUZUKU BINAFSI.pdf102.63 KB