TMF imepata namba mpya za simu na faksi

Mfuko wa vyombo vya habari Tanzania(TMF) umehamia katika ofisi mpya iliyopo mtaa wa Mafinga, kiwanja namba 127 Kinondoni.Kwa hiyo namba zetu za simu pamoja na faksi zimebadilika pia hivyo kwa sasa tunaweza kuwasiliana kwa namba zifuatazo: Tel: +255 22 2664306/07 Fax: + 255 22 2664308. Sanduku letu la posta halijabadilika litabaki kuwa lile lile: P.O. Box 38266, Dar es Salaam, Tanzania.