TMF watamsaidia Erick Kabendera wakishirikiana na David Astor journalism Award.
Wakishirikiana na David Astor Journalism Awards Trust (DAJAT), TMF watamfadhili Mtanzania mshindi wa mwaka 2008 wa tuzo hiyo, Erick Kabendera atakayeshiriki katika mpango wa kujiendeleza kitaaluma na magazeti ya Times pamoja na independent newspaper London uingereza.Tovuti ya DAJAT sasa ipo katika matengenezo mara itapozinduliwa mtapata taarifa kupitia tovuti hii http://www.dajat.org/.
