Uzinduzi wa TMF tarehe 3 Desemba 2008
TMF ni mfuko mpya utakaoendeshwa kwa miaka mitatu kuimarisha uandishi wa habari za uchunguzi na uandishi wa habari unaozingatia ubora. TMF ilizinduliwa tarehe 3 Desemba 2008 kwenye ukumbi wa Karimjee Dar es Salaam kuanzia saa 10.30 alasiri hadi saa 1.00 jioni. Kwa taarifa zaidi soma ripoti ya uzinduzi na hotuba za waalikwa hapo chini.
