Ruzuku Kwa Waandishi wa Habari na Vyombo vya Habari
Mfuko wa Vyombo vya Habari Tanzania (Tanzania Media Fund-TMF) unawakaribisha waandishi wa habari na taasisi za habari kutuma maombi ya ruzuku. Mwisho wakutuma maombi kwa ruzuku za Mikoani na za upeo mpana ni tarehe 15/02/2009. Baada ya tarehehe hiyo tutaendelea kupokea ruzuku za chapchapu na za taasisi tu.
| Attachment | Size |
|---|---|
| CALL FOR PROPOSAL_Final_swahili_3.PDF | 206.4 KB |
